Wednesday 29 January 2014

KIFAA CHA KUWEKEA TAKA.

Kifaa hiki kipo katika moja ya masoko ya manispaa hapa Tanzania. Sikosoi ila kwakweli hatuna matumizi mazuri ya kifaa hicho kiasi cha kukifanya hata chenyewe kionekane ni takataka. Tazama hapa chini kifaa kama hicho katika nchi za wenzetu. Hii ni mahali fulani nchini Ujerumani

No comments:

Post a Comment

Maoni yako