Monday 6 January 2014

PILIKA ZIMEANZA

Juma jipya la kwanza la mwaka huu lililo kamili limeanza. Kila mmoja yupo ktk kutafuta kipato kwa njia halali. Nawatakia wadau wote na watafutaji halali kila jema ktk kuboresha maisha kwa mwaka huu. Ila kwa wale waliopewa dhamana mbalimbali katika jamii,ni muhimu katika kuwajibika kwao waangalie adha hii wanayopata baadhi ya wananchi ktk maisha yao ya kila siku. "something should be done because this is not fair"

No comments:

Post a Comment

Maoni yako