Tuesday 21 January 2014

MAENDELEO DARAJA LA KIGAMBONI

Huu ndio mwonekano mpya wa daraja la kigamboni kwa sasa

Hivi karibuni waziri wa ujenzi Mheshimiwa John Magufuli alifanya ukaguzi wa maendeleo ya daraja la kigamboni. Na hivi ndio linavyoonekana kwa sasa likiwa limeshaunganisha nchi kavu mbili

No comments:

Post a Comment

Maoni yako