Wednesday 1 January 2014

HAPPY NEW YEAR 2014

Naungana na watu wote duniani kuukaribisha mwaka mpya 2014. Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya wadau wangu wote. Nawaombea na kuwahimiza uwe mwaka wa amani. Tuchape kazi kwa bidii. Tuwe wenye kueneza furaha na upendo kwa wote. Hata kama katika kuwajibika tutajikuta bado hatujafikia malengo tusikate tamaa. " FORWARD EVER. BACKWARD NEVER"

1 comment:

Maoni yako