Saturday 4 January 2014

USAFIRI WA DALADALA DAR WAZIDI KUWA KERO.

Abiria wakisubiri usafiri kuingia jijini katika kituo cha Mbezi Mwisho leo asubuhi. Kila kukicha kero za usafiri wa Daladala jijini dar wazidi. Kwa nyakati za asubuhi vituo vya Mbagala, Mbezi Mwisho,Kimara mwisho,Gongola mboto na vinginevyo no shida tupu. Jioni Posta,kivukoni,Fire ,Bahkresa ,Akiba na Msimbazi ni patashika.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako