Thursday 2 January 2014

LIONEL MESSI AKWEA MLIMA K'NJARO

Wakati mchezaji mashuhuri wa dunia wa club ya Barcelona amekwea mlima Kilimanjaro kwa hisani ya Turkish Airlines,nasi watanzania tujiulize mlima huo kama kivutio cha utalii na raslinali ya taifa, je wawaza nawe siku.moja kukwea au unadhani ni.watu kutoka nje ya nchi tu?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako