Monday 13 January 2014

KUMEKUCHA

Ni jumatatu mwanzo wa juma ambapo kila mtu anaianza siku yake kivyake. Kwa baadhi ya wafanyakazi,wafanya biashara na hata wanafunzi;huianza siku kwa vurugu hii ya usafiri. Kwa wanafunzi wa Shule za Awali na Msingi ambapo wengi wanaanza masomo leo,kila mmoja anawaza yake. Wengine wawaza watafikaje shuleni,wengine wanawaza namna ya kukabiliana na mazingira ya shule na changamoto km hizo Wengine wao mambo si mabaya Wengine mpaka huduma za kompyuta wanazo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako