Friday 20 December 2013

UWANJA WA AMANI ZANZIBAR WAFANYIWA MAREKEBISHO NA KUWEKEWA NYASI BANDIA

Uwanja huo unavyoonekana kwa sasa. *Uwanja wa Amani wa Zanzibar maarufu kama Amani Stadium umefanyiwa marekebisho na kuwekewa nyasi bandia.**Baada ya kukamilika ulifanyiwa majaribio kwa mechi ya vijana wa mika chini ya 20** **Hii ni katika maandalizi ya sherehe za mapinduzi. Uwanja huo umekuwa wa kisasa zaidi kwa wakati huu.* Uwanja huo ktk kipindi cha ukarabati

No comments:

Post a Comment

Maoni yako