Thursday 26 December 2013

Umbea kidogo: DIAMOND PLATNUMZ

Mwanamuziki Diamond akipagawisha watazamaji wake jana ktk viwanja vya Leaders Club Mwanamuziki Diamond akicheza na mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu;ambapo fununu za kurudiana zimeenea mjini. Baada ya Tamasha hilo la Leaders Club. Diamond na jopo lake la Wasafi Classic walikwea "private jet" kuelekea Mwanza kwa tamasha la leo Boxing Day.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako