Wednesday 18 December 2013

Mv.MAGOGONI chapata kizaazaa leo

Kivuko kikubwa cha MV Magogoni leo kimekwama katikati ya bahari katika Bandari ya Dar es Salaam kutokana na hitilafu za kiufundi.Pantoni hilo linafanya safari kati ya Kigamboni na Magogoni, Dar es Salaam. Kiini cha kizaazaa hicho bado hakijafahamika, ila mashuhuda wanasema  Kivuko kilipoteza mwelekeo majini  kikiwa na abiria na magari baada ya injini zake kushindwa kufanya kazi. *" Juu abiria wanaonekana wamevaa "life jackets" ikiwa itatokea kupiga mbizi au la. Chini ni mv.Magogoni inavyoonekana ktk safari zake kawaida

No comments:

Post a Comment

Maoni yako