Friday 20 December 2013

TUWE WATU WA SHUKRANI

Ni katika pilikapilika za maisha ambapo wengi hujifunga mkanda katika majukumu yao kutafuta chochote kwa ajili yao na familia. Lakini mara nyingi hujinyima sana ili mambo yaende au kumridhisha mke/mume au familia. Lakini ni mara ngapi tunashukuru huduma hizo? Yeye anapopiga ugali kwa maharage wewe umeletewa hiki bado walalamika. Tujitahd kushukuru kwa chochote

1 comment:

Maoni yako