Friday 6 December 2013

Breaking News:Mzee Nelson Mandela (95) Amefariki Dunia

Habari za hivi punde zinajulisha kuwa; Raisi wa sasa wa Afrika ya Kusini ametangaza kwa masikitiko kuwa Mzee Nelson Mandela amefariki dunia tarehe 5 Desemba 2013majira ya saa 2:50 usiku ( kwa saaz a Africa Kusini) huko nyumbani kwake Johanesburg. Mzee t alikuwa kiongozi wa kwanza mweusi kutawala Africa kusini kama Raisi. Alitoka kifungoni mwaka 1990 na kuchaguliwa kuwa raisi mwaka 1994. Mwaka 1999 aliachia madaraka na mara ya mwisho kutokea kwente galaiki km kiongozi rasmi ilikuwa mwaka 2004. Inasemekana kifo chake kimetokana na maradhi ya mapafu yaliyokuwa yakimsumbua kwa kujirudia. Mungu ailaze roho yake pema Amen.

1 comment:

  1. Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi. Amina.

    ReplyDelete

Maoni yako