Tuesday 24 December 2013

TUSICHEZEE ZAWADI YA UHAI

Wakati wenzetu wa Africa Kati na Sudan Kusini wanatapatapa kwa vita,hawa wenzetu na sisi nao wanajaribu Bomu bandia lao. Uuuuuh kila mtu kapewa akili zake jamani. Onyo: Tafadhali usijaribu hii

No comments:

Post a Comment

Maoni yako