Monday 22 June 2009

VODACOM DAR-es-SALAAM MARATHON


Hapa ni Sara Ramadhani toka Zanzibar akishangilia ushindi akiwa anamalizia mbio hizo

Mshindi wa Kwanza wanawake Sara Ramadhani akipokeA ZAWADI toka kwa Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Joel Bendera,(kushoto)Mkurugenzi wa Bodi ya wakurugenzi wa Vodacom Peter Kisumo.

Mshindi wa Mashindano ya Vodacom Dares Salaam Marathon katika mbio za kilometa 21 kwa wanaume Fabian Joseph akishangilia baada ya kumaliza mbio hizo na kuibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia kitita cha shilingi Milioni 1.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako