Wednesday 17 June 2009

SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

Jana ilikuwa siku ya Mtoto wa Afrika.Tunapata changamoto gani kwa kuadhimisha siku hiyo?
Watoto waliopoteza wazazi wao kutokana na matatizo mbali mbali wa kituo cha Tanzania Mitindo House. Kilicho chini ya mpiganaji Khadija Mwanamboka Saad. Katika picha ya pamoja ikiwa ni siku ya kimataifa ya mtoto wa Afrika.Miss Earth, Evelyene na Miss International, Hidaya Maeda, wakipiga picha ya pamoja na watoto wa shule ya Malaika Montessori.
Picha kwa hisani ya Global Publishers

No comments:

Post a Comment

Maoni yako