Sunday 28 June 2009

MBILIA BELL KATIKA VIWANJA VYA BUNGE

Mwanamuziki toka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akicheza muziki na Spika wa Bunge Mhe.Samwel Sitta wakati alipotumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana.
Mwanamuziki toka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mbilia Bell akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako