

Kwa upande wangu mie(Mwenye Blog) namshukuru Mungu pia kwa kumwita kwake Baba yetu tarehe 23/03/2009 ambaye leo tungejivunia kuwa nae katika Maadhimisho haya. Shukrani zetu tunazipeleka katika sala tukimwomba Mungu ampumzishe mahali pema, Amina

"Home Sweet Home"
No comments:
Post a Comment
Maoni yako