Saturday 27 June 2009

SHEIKH SULEIMAN GOROGOSI AMEFARIKI AJALINI

Habari zilizothibitishwa na ndugu wa karibu zinasema kuwa Naibu Mufti wa Tanzania Sheikh Suleiman Gorogosi amefariki kwa ajali ya gari akiwa njiani kutoka kutoka Mtwara kuelekea Lindi.Ajali hii ilisababishwa na kupasuka kwa gurudumu la mbele la gari alilokuwa akisafiria. Habari zaidi baadae...............Mola amweke pema peponi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako