Friday 26 June 2009

MICHAEL JACKSON AFARIKI DUNIA

Habari za hivi punde kadiri ya "The Los Angeles Times" zinasema , Mfalme wa Pop Michael Jackson amefariki huko Los Angeles mara baada ya kufikishwa hospitalin hapo akiwa mahututi. Hii ni baada ya kupata mshtuko wa moyo (cardiac arrest) mchana wa jana. Habari zaidi baadae..........Hapa ni Michael Jackson akiwa na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alipotembelea Tanzania miaka ya tisini

No comments:

Post a Comment

Maoni yako