MHE MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE ALICHOONGEA NA KISHA KUZUSHA MJADALA
Mbunge Mhe.John Mnyika atolewa nje ya Bunge kwa amri ya Spika Job Ndugai na kuamriwa kutohudhuria vikao kwa siku 7 baada ya kutokea malumbano leo. Baada ya tukio hilo na wabunge wa upinzani wakaamua kutoka nje
TBS wazindua mashindano ya Insha vyuo vikuu
8 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako