Usiku wa June 3 2017 katika uwanja wa Millenium jiji la Cardiff nchini Wales Real Madrid waliandika historia mpya katika uwanja huo baada ya kufanikiwa kutwaa taji lao la 12 la UEFA Champions League katika historia ya club yao.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako