Alokuwa Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA)Mhe.Phillemon Ndesamburo amefariki wiki ilopita na mazishi yake kufanyika huko KDC Moshi. Alikuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Upinzani CHADEMA
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
12 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako