Rio imemaliza michuano ya Olimpiki kwa shamrashamra za aina yake, licha ya mvua kuwanyeshea maelfu wanamichezo pamoja na watazamaji waliofika kushuhudia michezo hiyo kutoka maeneo mbalimbali duniani.
Mwenge wa Olimpiki umezimwa katika uwanja wa Maracana nchini Brazil, na kuashiria michuano ya Olimpiki Rio imemalizika rasmi:
Mashindano ya Olimpiki yanayofuata yatafanyika huko nchini Japan.
GF TRUCKS YAWASHIKA MKONO FEMATA SAFARI YA CANADA
37 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako