Picha hii inanikumbusha ule ujanja wa mbuni kuchimbia kichwa chacke kwenye kichaka huku mwili wote upo nje kana kwamba anajificha. Huyu jamaa ni vyema akaenda kijijini kulima matembele kulikoni kuendelea na usanii huo maana siku wajanja kama mie tukimgundua, ni kichapo cha mbwa mwizi. Kipofu anasoma message,anaandika title tena kwa kiingereza, wapi na wapi?
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB 'yamwaga' Sh milioni 150
10 hours ago

Good and nice information
ReplyDelete