Tuesday 4 December 2012

UTAFUTAJI WA KIMASHA MASHAKA


Hii inanikumbusha msemo "Punda afe mzigo ufike", Ni kweli tunapaswa kujitahidi kutafuta, lakini ni kwa namna gani tunatafuta na tunanufaika vipi na utafutaji huo. Mwisho wa siku upakiaji huu wa bidhaa hii kwenye hili gari wahatarisha maisha na uharibifu zaidi kuliko faida ipatikanayo.





No comments:

Post a Comment

Maoni yako