Jana tulikuwa tunaadhimisha siku ya Ukimwi Duniani, nikamwona huyu jamaa yangu na kujiuliza kama hii ndo gear ya kuzuia maambukizi, basi hapa atakuwa mbali na ukweli au unasemaje mdau. Samahani kwa picha hii kama itakukwaza lakini ni kufikisha ujumbe tu.
WAAJIRI WANAOZINGATIA SHERIA ZA KAZI WAPONGEZWA
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako