Kutokana na dunia ya leo ilivyo, kwa sasa kila kitu chahitaji ulinzi, Mali zahitaji kulindwa, afya nazo zahitaji kutunzwa. Hapa twaona swahiba kaamua kufunga ndala zake kwa kofuli ili kuzilinda. Lakini ni kweli amezipa usalama sahihi???? Hiyo yatosha watu kutoziiba au hata atakayeziiba kushindwa kuzitumia kwani????
Na ujumbe mwingine wahusisha ulinzi wa afya zetu.
TMA Yabainisha Njia Rasmi za Kupata Taarifa za Hali ya Hewa
47 minutes ago

Uujumbe wenye fumbo ndani yake
ReplyDeleteBonge la fumbo!!
ReplyDelete