Kutokana na dunia ya leo ilivyo, kwa sasa kila kitu chahitaji ulinzi, Mali zahitaji kulindwa, afya nazo zahitaji kutunzwa. Hapa twaona swahiba kaamua kufunga ndala zake kwa kofuli ili kuzilinda. Lakini ni kweli amezipa usalama sahihi???? Hiyo yatosha watu kutoziiba au hata atakayeziiba kushindwa kuzitumia kwani????
Na ujumbe mwingine wahusisha ulinzi wa afya zetu.
WADAIWA KODI YA ARDHI KIKAAONGONI
5 hours ago

Uujumbe wenye fumbo ndani yake
ReplyDeleteBonge la fumbo!!
ReplyDelete