Mtoto huyu nae anatamani anywe maji safi na salama lakini ndo hivyo katika mazingira alipo hakuna huduma hiyo. Hapa msaidizi wake ni mungu tu maana wanyama wanatumia maji hayo hayo na yeye pia, ni mungu tu kumnusuru na magonjwa. Serikali inatakiwa kuangalia haya. Hiki ndicho kizazi kinachokua na kuiona serikali kama imewatupa na hivyo kuwa na chuki nayo.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako