Saturday 29 March 2014

MALEZI NI HATUA

Katika ukuaji kuna hatua ambazo mtu hupitia hadi ukuaji wake mtimilifu. Hatua kama hii wanayopitia hao japo kwao ni kama kucheza tu lakini yawajenga na hapo baadae kuishi vizuri kifamilia kama mke na mume. Tujitahidi watoto wetu wasiruke Stage wasijefanya hayo ya kitoto wakiwa wakubwa.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako