Friday 21 March 2014

KUNA LEO NA KESHO

Ndege anapokuwa hai huwa anakula sana funza, lakini anapokufa funza humla yeye.......Maisha yanabadilika kila wakati, hivyo basi usimdharau wala kumuumiza mtu yoyote yule katika haya maisha........Kwani unaweza ukawa imara sana leo, ila kumbuka maisha ni imara kuliko wewe........na elewa kuwa mti mmoja unaweza ukatengeneza mamilioni ya njiti za kiberiti, lakini muda ukifika njiti moja tu ya kiberiti inaweza ikachoma msitu mzima.........Hivyo kuwa mwema kwa kila mtu! kwasababu huwezi jua.
Uliyenae ni rafiki/mume/mke/ndugu wa kweli au wa mashaka tu? Jiulize

No comments:

Post a Comment

Maoni yako