Madreva na wamiliki wa mabasi yaendayo Arusha na sehemu nyingine ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro yakianzia Kituo hiki cha Moshi, wameweka mgomo wa kutopeleka magari yao stendi leo kutoa huduma, na hatimae kuamua kucheka mpira wa mguu kati ya madreva na makondakta.
Stendi yageuka kiwanja cha kandanda
(Picha kwa hisani ya Dj.Seki)
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako