Wednesday 5 March 2014

NANI KAMA MAMA?

Tunapomtazama na kumzungumzia mwanamke alopewa heshima ya kuitwa mama wa dunia au mlenzi wa Ulimwengu twamtazamaje? Je twamwona kama mtu duni asiyeweza chochote? dhaifu asiyeweza Fanya maamuzi magumu? mwenye wivu na msaliti ?
Mwanamke yeyote anastahili sifa na heshima za kipekee. Wakati mwingine hatujui ni kwa namna gani kinamama wamejitolea kuhakikisha maisha yanakuwa mema kwa wale wanaowahusu. Ila na kwa dada zetu wanaochipukia wasipoteze thamani ya mama duniani kwa matendo yasiyostahili kwenye jamii hata kushusha hadhi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako