Saturday 15 March 2014

MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO

Picha hii imepigwa mahali fulani kati ya mikoa yetu ya Tanzania (Jina limehifadhiwa) lakini yatuonyesha namna ambavyo tunapuuzia malezi ya watoto wetu. Mtoto huyu ambae leo anafundishwa na kuruhusiwa kucheza hivyo mbele ya kadamnasi atazuiwa vipi au atajizuia vipi akiwa mkubwa kwenda kucheza vilabuni au katika kadamnasi. Na je hayo ndo maadili ya Mtanzania?. Wazazi tuwe makini na malezi ya watoto.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako