Saturday 24 September 2016

RAIS MSTAAFU MHE JAKAYA KIKWETE APEWA TUZO

Rais Mstaafu DKT. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Tuzo ya Uongozi wa Kisiasa na Utetezi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Speak Up Afrika Bi Kate Campana, katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamis New York Marekani. Tuzo hiyo ni kutambua jitihada na juhudi zake za kufikisha huduma za jamii hususani afya kwa kwa wanawake na watoto.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako