Dada wa marehemu Erasto Msuya aliyetambulika kwa jina la Anathe Msuya ambaye alikuwa ni Mtumishi wa Wizara ya Fedha, ameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana Dar es Salaam. Anathe aliuawa nyumbani kwake eneo la Kibada block 16, Kigamboni, ambako inaelezwa wauaji hao hawakuchukua kitu chochote ndani ya nyumba yake.
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
44 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako