Thursday 19 May 2016

BAADHI YA WAKUU WA MIKOA WAFANYA UTALII WA NDANI HIFADHI YA TARANGIRE

Wakuu wa Mikoa wakiwemo wakuu wa wilaya waliowakilisha mikoa yao wakiwa katika ofisi za Shirika za Hifadhi za Taifa nchini (TANAPA) muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kimafunzo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire

No comments:

Post a Comment

Maoni yako