Hivi mtoto kama huyu aliyezaliwa kwenye nchi nzuri yenye sifa nyingi nzuri duniani, asubuhi ameamka na kuwahi shuleni kwa miguu, kisha mchana anaporudi inabidi ahangaike kujitengenezea chakula chake duni mwenyewe,hivi kweli kuna siku atakaa auelewe huu msemo "Maisha bora kwa kila Mtanzania"????
HOSPITALI YA TEMEKE KUFANYIWA UCHUNGUZI WA UTENDAJI
50 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako