Hivi mtoto kama huyu aliyezaliwa kwenye nchi nzuri yenye sifa nyingi nzuri duniani, asubuhi ameamka na kuwahi shuleni kwa miguu, kisha mchana anaporudi inabidi ahangaike kujitengenezea chakula chake duni mwenyewe,hivi kweli kuna siku atakaa auelewe huu msemo "Maisha bora kwa kila Mtanzania"????
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
9 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako