Msanii anayependwa sana kwa sasa Bongo Diamond Platnumz amegusia kuwa anatarajia kufunga ndoa na mpenz wake wa muda mrefu Wema Sepetu. Anasema kwakuwa ana washabiki wengi inawezekana hata akapanga kufunga ndoa hiyo Uwanja wa Taifa ili mashabiki wake wengi waweze kuhudhuria. Tunamuombea heri
GF TRUCKS YAWASHIKA MKONO FEMATA SAFARI YA CANADA
33 minutes ago

Mungu baba awasaidie!!
ReplyDelete