Saturday 3 June 2017

WABUNGE WA UPINZANI WASUSIA BUNGE NA KUTOKA NJE

MHE MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE ALICHOONGEA NA KISHA KUZUSHA MJADALA

Mbunge Mhe.John Mnyika atolewa nje ya Bunge kwa amri ya Spika Job Ndugai na kuamriwa kutohudhuria vikao kwa siku 7 baada ya kutokea malumbano leo. Baada ya tukio hilo na wabunge wa upinzani wakaamua kutoka nje

No comments:

Post a Comment

Maoni yako