Saturday 17 June 2017

BIASHARA YA MKAA BADO IMESHAMIRI

Pamoja na tatizo kubwa la uharibu wa misitu na mazingira, biashara ya mkaa imeendelea kushamiri hasa maeneo ya Mijini.
Hapa chini ni Biashara ya mkaa maeneo ya Kigogo Fresh nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Maoni yako