Wednesday 14 June 2017

MHE RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA BARRICK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada Profesa John L. Thornton mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2017. Kulia ni balozi wa Canada nchini Mhe. Ian Myles

No comments:

Post a Comment

Maoni yako