Tuesday 6 June 2017

MHE MAMA ANNA MGHWIRA AAPISHWA KUWA MKUU WA MKOA WA KNJARO LEO


Leo hii mara baada ya kuapishwa Ikulu ,Mhe Anna Mghwira alikabidhiwa Ilani ya CCM na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara ,mbele ya Rais Magufuli na Viongozi Wengine waandamizi wa Serikali na kuagiywa akachape kazi bila kusikiliza maneno ya watu wanaoongea dhidi ya uteuzi wake

No comments:

Post a Comment

Maoni yako