Tuesday 30 May 2017

ALIYEBUNI NA KUCHORA NEMBO ZA TAIFA AFARIKI DUNIA


Mzee Francis Maige Kanyasu maarufu kama "Ngosha" aliyedai kuwa yeye ndiye mchoraji wa nembo ya Taifa amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, leo akiwa na umri wa miaka 86.!

No comments:

Post a Comment

Maoni yako