Monday 5 June 2017

TANZIA: R.I.P Dr.Phillemon Ndesamburo

Alokuwa Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA)Mhe.Phillemon Ndesamburo amefariki wiki ilopita na mazishi yake kufanyika huko KDC Moshi. Alikuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Upinzani CHADEMA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako