Monday 5 June 2017

REAL MADRID WALIVYORUDI NYUMBANI KWA SHANGWE BAADA YA KUTWAA KOMBE LA UEFA

Usiku wa June 3 2017 katika uwanja wa Millenium jiji la Cardiff nchini Wales Real Madrid waliandika historia mpya katika uwanja huo baada ya kufanikiwa kutwaa taji lao la 12 la UEFA Champions League katika historia ya club yao.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako