Sunday 11 June 2017

BASI LA BATCO LATEKETEA KWA MOTO HUKO MKOANI MARA

Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW likiteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butama Mkoani Mara, gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka Tarime-Sirari na Mwanza.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako