Thursday 22 June 2017

MHE RAIS MAGUFULI AFUNGUA RASMI BARABARA ZA BAGAMOYO/MSATA 64KM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja Mama Salma Kikwete (Mb), Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Norman Sigala, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa
Daraja la Ruvu Chini katika Barabara hizo za Bagamoyo/Msata

No comments:

Post a Comment

Maoni yako