Thursday 22 June 2017

SHOPPING ZA EID IMEPAMBA MOTO

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Mfungo wa Ramadhani kuisha, maeneo mengi ya masoko yamejaa wateja wakifanya manunuzi kwa ajili ya kupendeza wakati wa Sikukuu ya Eid.
Nawatakia wote maandalizi mema

No comments:

Post a Comment

Maoni yako