Monday 19 September 2016

DIAMOND PLATNUMZ AJA KI-BUKOBA NA WIMBO "SALOME"


Staa wa muziki nchini, Diamond Platnumz ameachia Wimbo ambao amemshirikisha msanii mwenzake ambaye yupo katika lebo yake ya WCB Wasafi, Rayvanny ambayo ameipa jina la Salome. Video ameshoot, Nicorux kutoka Afrika Kusini Aprili, 10 mwaka huu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako